Thursday, November 25, 2021

kuangalia wanafunzi waliopangiwa shule kidato cha kwanza 2022

 

 kuangalia wanafunzi waliopangiwa shule kujiunga na kidato cha kwanza mwakani 2022

bonyeza hii link chini


 

 

Saturday, October 30, 2021

MATOKEO YA DARASA LA SABA 2021

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Jumamosi 30, Oktoba 2021 limetangaza matokeo ya darasa la saba huku mtahiniwa Eluleki Evaristo Haule amepata alama nyingi zaidi kuliko wenzake.

Akitangaza matokeo hayo leo Jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk Charles Msonde ametawa watahiniwa kumi bora kitaifa.

 

 KUANGALIA MATOKEO YA DARASA LA SABA BONYEZA LINK HAPO CHINI

 matokeo ya Darasa la saba 2021


Wednesday, August 18, 2021

Taliban new government

Kabul remained tensely calm on Tuesday as the Taliban declared an “amnesty” across Afghanistan and urged women to join its government days after the armed group took over the country.

The Taliban tried to reassure nervous people in the capital city, many of whom converged on the airport trying to flee the country, fearing more violence.

Sunday, March 21, 2021

UEFA CHAMPION LEAGUE QUATER FINAL

 UEFA CHAMPION LEAGUE QUATER FINAL

LIVERPOOL VS REAL MARDID  6 APR 2021       MAN CITY VS DORTMUND     6 APR

 

BAYEN VS PSG                                7 APR 2021       PORTO VS CHELSEA                7 APR

 

 PSG VS BAYEN                                13 APR 2021   CHELSEA  VS  PORTO              13 APR

 

REAL MARDID VS LIVERPOOL    14 APR 2021   DORTMUND  VS  MAN CITY  14 APR 



 

 

 

 



historia fupi ya Hayati JPM

  HISTORIA  JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI



 John Pombe Joseph Magufuli (29 Oktoba 1959 - 17 Machi 2021) alikuwa rais wa tano wa Tanzania, akitokea katika chama cha CCM. Aliongoza kwa miaka mitano na nusu hadi kifo chake.


Tarehe 12 Julai 2015 alichaguliwa kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi akiwa na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan.

Tarehe 29 Oktoba 2015 Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilimtangaza kuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ushindi wa kura 8,882,935 sawa na 58.46% pamoja na makamu wa rais Samia Suluhu Hassani.

Alikuwa Mchapakazi haswa katika kuipeleka Tanzania mahari fulani katika njozi zake,kwani alifanikisha kukamilisha miradi mbalimbali katika taifa hili la Tanzania adi kulifikisha katika Uchumi wa kati.

Pia alikuwa mtu ambaye apendi kuvumilia viongozi wake aliwateua kufanya makosa kwa uzembe alikuwa mkali sana.Na mcheshi sana alikuwa anawapenda watu wote rika mbalimbali.

Alipambana na Janga la kidunia CORONa  kwa mtizamo tofauti,pia alikataa ktumia chanjo ya korona,ambayo ilikuwa na side effect na kuwahimiza watu wajikinge na wapige nyungu na wamuombe mungu pia kwani hakuna ugonjwa wowote ambao mungu akiamua kukuponya unapona kikubwa imani tu.Na kumeongezekwa kwa mataifa mbalimbali Duniani kusitisha matumizi ya chanjo ya korona,hili Mhe hayati John P. Magufuri aliliona Mbali sana,mda huu tunaona nchi kama ujerumani,italia n.k zimesitisha chanjo ya korona.

Mawazo yangu kwa WHO,waipitie vizur hiyo chanjo kabla ya kuwapa watu katika nchi kwani kuna side effect zinatokea au wanafanya Biashara.tunataka chanjo ambayo itakufa less side effect n effective sio bla bla tu

Na hii ndio miradi ambayo Mh. Hayati John P. Magufuri ameifanya yenye 

Nyota imekamilika na isiyo na nyota bado haijakamilika

1.*Daraja la kijazi (Ubungo interchange)

2.Treni ya umeme (SGR)

3.*Kufufua Air Tanzania 

4.Huduma bora za afya

5.Daraja la KIGONGO-BUSISI

6.Daraja la salenda(Waterway bridge)

7.Rufiji HEP PROJECT 

8.Terminal 3 Internation airport

9.Vituo Bora vya Afya

Na miradi mengine ambayo aijaainishwa hapo,Jasiri kapamba kwa uwezo wake,wakati tu ni ukuta Kaiacha Tanzania katika majonzi makubwa mno..Tunamwombea kheri na afya njema raisi wetu wa sasa Mama Samia S. Hassani aiongoze Nchi hii mahari pazuri zaidi ya hapa tulipo kwa sasa amen.

                                 Mungu mbariki Raisi wetu,

                              Mungu ibariki Tanzania,

                                 RIP  JPM.

KUAGWA KWA HAYATI JOHN POMBE MAGUFURI

 KUAGWA KWA HAYATI jOHN POMBE MAGUFURI


 

Mwili wa Mpendwa wetu hayati Dr. John P. Magufuri Umeagwa Dar es Salaam kwa Siku mbili unategemewa kuagwa tena hapo kesho Tarehe 22/03/2021 Katika makao Makuu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania(Dodoma) nakesho kutwa Tarehe 23/03/2021 utarudishwa Zanzibar kwa ajiri ya kuagwa na watu wa visiwani huko pia utaenda mwanza kuagwa huko nakumalizia kijijini Tarehe 26/03/2021rasmi kwa ajili ya safari yake ya mwisho hapa Duniani.napenda kuwapa pole Rais wa JMT Samia S. Hassani na watanzania wote mungu Atutie nguvu katika kipindi kigumu hiki cha mapito.

RIP JPM

RIP JPM

RIP JPM

RIP JPM

Friday, January 15, 2021

MATOKEO YA DARASA LA NNE,KIDATO CHA PILI NA NNE YATANGAZWA

 kUANGALIA MATOKEO YA DARASA LA NNE BONYEZA HAPO CHINI

 MATOKEO DARASA LA NNE

kUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI BONYEZA HAPO CHINI

MATOKEO KIDATO CHA PILI

 kUANGALIA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI BONYEZA HAPO CHINI

 MATOKEO KIDATO CHA NNE


Wednesday, January 13, 2021

Uchaguzi Mkuu Uganda 2021

 


Uganda imeagiza watoaji huduma za mtandao kufunga mitandao yote ya kijamii na programu za kutuma ujumbe kufikia Jumanne hadi wakati usiojulikana, kwa mujibu wa barua kutoka kwa mdhibiti wa mawasiliano nchini humo iliyonukuliwa na shirika la habari la Reuters.

Facebook

Twitter

Instagram

Whatsap

Youtube n.k